Pages

Search This Blog

michuzi, MK,HAKI NGOWI, BONGO CELEBRITY, WATANZANIA, NGURUMO

Tuesday 8 March 2011

MABOMU GONGO LA MBOTO

Zefumo, Je kweli hii ni haki. ??

WANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’ na Mrisho Mpoto ‘Mjomba’, Jumapili iliyopita walijikuta wakimalizia siku kwenye Kituo cha Polisi cha Sitakishari, Ukonga, jijini Dar es Salaam kwa madai makuu mawili. 

Wasanii hao walishikiliwa Februari 20, 2011 kwa madai mosi, kumtusi mwanajeshi mmoja wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ‘JWTZ’ (jina halikupatikana), pili kurekodi video ya wimbo wao mpya wa Gongo la Mboto kwenye eneo la maafa bila kibali.

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha uhakika, mastaa hao ‘walidakwa’ Jumapili saa 9:00 alasiri na kuwekwa katika Kituo cha Polisi cha Msimbazi, Kariakoo, Dar na baadaye kupelekwa Sitakishari ambako ndiko kwenye malalamiko yao.


Ilidaiwa kuwa, kisa kilianzia Februari 19, 2011 alasiri ambapo wawili hao walikuwa wakirekodi video ya wimbo huo maeneo ya maafa, Gongo la Mboto.

Chanzo kikasema, walifika eneo ambalo bado kulikuwa na bomu nje ya nyumba moja, wakaendelea kurekodi.
“Mara, akatokea mtu na kujitambulisha kwao yeye ni mwanajeshi,” kilisema chanzo hicho.

Kikaendelea: “Akawauliza kama wana kibali cha kuwaruhusu kurekodi video eneo hilo, wao wakajitetea kwa kujibu ni wasanii wanachukua picha kwa ajili ya muziki ambapo lengo ni kuwapa pole waathirika wa milipuko ya mabomu.”

Chanzo kikaendelea kusema kuwa, wananchi waliokuwa wakishuhudia uchukuaji huo wa picha walianza kumsemea mbovu ‘mjeshi’ huyo wakimtaka awaache wasanii hao wafanye kazi yao.

“Kitendo cha kusakamwa na wananchi kilimkera yule mwanajeshi, kwa hasira  akalichukua bomu lililokuwa chini, akaliweka begani na kuondoka nalo,” kilisema chanzo.

Jumapili, saa tano, Mpoto alipokea simu ikimtaka yeye na Diamond kufika Kituo cha Polisi Msimbazi.

Ndani ya kituo hicho, habari zinadai, walijulishwa makosa yao kwamba, walimtukana mwanajeshi huyo na pia walikuwa wakirekodi picha za maafa kwa ajili ya muziki ambazo zingeichonganisha serikali na wananchi lakini wakatakiwa kupelekwa Sitakishari kwa maelezo zaidi.

Jumatatu asubuhi, Risasi Mchanganyiko lilimpigia simu Diamond na kumuuliza kuhusu mkasa huo ambapo alikiri kutokea.

Akasema: “Tulidakwa jana saa tisa pale Msimbazi, baadaye tukapelekwa Sitakishari.”

Akaongeza: “Unajua yule mwanajeshi alidai tumemtukana. Halafu eti picha tulizokuwa tunarekodi zinaweza kuwafanya wananchi wakaichukia serikali yao.”

Akaendelea: “Mkuu wa Kituo cha Sitakishari alituhoji, kisha akataka video, akaziangalia, akaturuhusu kuondoka saa mbili. Lakini alisema leo (Jumatatu) atatuita tena.



Kwa upande wake, Mjomba Mpoto naye alikiri kukamatwa na polisi huku akisema bado maafande hao wanazishikilia kanda zenye video hizo ili wazichunguze kama zina uchochezi ndani yake.

“Ni kweli yametukuta na hivi ninavyokwambia kaseti zetu zipo polisi, eti wanadai mpaka wazichunguze lakini kuhusu wimbo, utaendelea kupigwa redioni kama kawaida,” alisema Mpoto.

Risasi Mchanganyiko liliongea na afande mmoja wa Kituo cha Polisi cha Sitakishari ambapo alisema yupo nje ya ofisi lakini hakutaka kukiri wala kukataa kushikiliwa kwa wasanii hao kwa madai si msemaji wa jeshi hilo.

Kwa upande mwingine, Mpoto alipokuwa akizungumza kwenye Kipindi cha Jahazi cha Clouds FM juzi alisema, polisi waliwarudishia mkanda wa video waliokuwa wakirekodi baada ya kutoa baadhi ya vipande ambavyo hawakupenda vitumike.
Na Abdallah Shelufumo


Tuesday 15 February 2011

ZEFUMO TO LAUNCH AGRICULTURAL REVOLUTION

Speaking about the Agricultural compaign, ZEFUMO'S CEO  Abdallah Shelufumo argues about the problems and difficulties facing agricultural practices, He said " It is the balance between the maximaum yield and product quality within a context of environmental issues and profit margin to be the tremendous problems in Tanzania agricultural practices".

Mr. Abdallah Shelufumo add up by saying,Specifically, within the urban environment can be found just about every challenge possible within the physical environment. For example, there's air, heat, land, noise and water pollution; compacted soil; limited resources; and polluted runoff.

Additionally, there's just about every challenge possible within the social and political framework by which urban centers operate and survive. For example, there may be city ordinances that affect the urban agriculturist's growing practices, marketing opportunities, and transportation means.

So the urban grower may be swamped with a host of problems in terms of growing conditions, and a host of problems in terms of getting the product out smoothly and profitably.

OBAMA CALLS FOR AGRICULTURE AND FOOD RESEARCH INITIATIVES

President Barack Obama has included competitive agricultural research as part of his agenda for the future of innovation," says Caron Gala Bijl, who represents the AFRI Coalition, a group of more than 30 science organizations. " Sixty-three million is a realistic increase in the current budget environment.

ZEFUMO GROUP took this phenomena as a challenge, motive and  key to stabilizing agricultural production in Tanzania to improve food security, increase farmers’ productivity and incomes, and also to produce higher valued crops such as vegetables and even flowers. Said the President and the CEO of ZEFUMO, Abdallah Shelufumo.
ZEFUMO GROUPZEFUMO GROUPZEFUMO GROUP

Monday 14 February 2011

GLOBAL VOICES AND ZEFUMO GROUP

Abdallah Shelufumo, The President and the CEO of ZEFUMO GROUP paying tribute to Global Voice

Sunday 13 February 2011

ZEFUMO WEBSITE

Abdallah Shelufumo, the President and the CEO of ZEFUMO GROUP has recently launch his new website  click on the link below
http://www.zefumo.co.uk




From left Abdallah Shelufumo, the President and the CEO of ZEFUMO GROUP and his two cousins, to the next is Nathaniel Manongi and Mathisa Yoseph.

Saturday 12 February 2011

INTRODUCING ZEFUMO GROUP

Hello! Welcome to the online home of ZEFUMO, we are a Business Investment based in London.
Zefumo is uniquely positioned to take advantage of global economic trends. By offering our clients with wide range of demand throughout our agriculture portfolio to secure success for the growth markets of Tanzania.
ZEFUMO GROUP has shared his experience with and consulted to many companies in agriculture: equipment manufacturers, regional cooperatives, national distributors, regional distributors, seed companies, chemical companies, publishers, an insurance company, farm management companies, software companies and others, in the TANZANIA, EAST AFRICA and AFRICA. It has given briefings to consulting consumer goods, information services, computer companies, utilities and The World Bank about recent trends in the agricultural market.
ZEFUMO GROUP operates nationally from its office at KIBAHA INVENTORY STORE providing a range of specialist services as well as main stream farm business and livestock. With additional centre to be opened in TANGA and MOROGORO . It includes the widely-respected ZEFUMO Research Team.
ABDALLAH SHELUFUMO
THE CEO/ZEFUMO GROUP
CONTACTS
ZEFUMO GROUP
THE PRESIDENT $ CEO
40 HADRIANS WALK EAST
READING
RG2 7TZ
UNITED KINGDOM
LANDLINE: 01189758980
FAX : 01189758989
TEL : 07737030088

BARACK OBAMA ADDRESSING ABOUT AGRICULTURE


The National Peace Corps Association (NPCA) is asking President Obama to address issues of rural poverty and agriculture in Africa during his visit to Ghana. Former Peace Corps volunteers and others who have lived and worked on the continent say one hopeful solution to rural poverty is agriculture.
Yet, farmers and their communities need better support and better tools to yield more food production and engage in sustainable agriculture practices.
The NPCA is a non-profit, membership-based alumni organization that serves all returned Peace Corps Volunteers and former staff, as well as Peace Corps family, friends, and supporters.
“If Obama were to address the issues facing rural Africa during his trip it would help show that the international community is focused on long-term growth and trying to create and improve the systems that have the greatest impact on everyday life,” said Abena Asare, a native of Ghana who is pursuing a PhD in African History at New York University and serves as a moderator with the National Peace Corps Association.