Pages

Search This Blog

michuzi, MK,HAKI NGOWI, BONGO CELEBRITY, WATANZANIA, NGURUMO

Thursday 5 November 2009

50 Cent ready to take Kanye West's hip hop title after his recent VMAs drama


bifu bibu tuuuuuuu.......... eenh, pata hiii sasa

tujiunge na zefumo





Rapper 50 Cent has said he's ready to take Kanye West's hip hop title after his recent VMAs drama.


The 34-year-old vowed two years ago to give up rap if Kanye beat him to number one but the star has now said it's "cool to hate Kanye" at the moment.


Kanye, 32, was criticised for interrupting Taylor Swift's acceptance speech at the recent VMAs to say that Beyonce should have won the award.


50 Cent said: "Taylor is 17. She could be my child. Kanye may not have grown up in the space where you could have a child that early, but where I'm from, it could have happened.


"I could have a child her age right now. So it makes me feel different about the whole scenario. I don't think he had that in mind. I think he was just saying that he felt as an actual artist, and it's a mistake.


"He's paying for it now. I don't know how much damage it does, but it looks pretty bad from here. What do you do after that to make people sympathetic to you?"


He added: "Kanye was the underdog coming around under 50 Cent, and now he's becoming this guy who has so much arrogance that it's cool to hate Kanye West right now."

ndo vile yani bifu kwenda mbele.

chanzo na Abdallah Shelufumo




Rapper 50 Cent has 'lost a few million' in the economic crisis

mwanamuziki tajiri ndani ya sayari ya mziki.








Rapper 50 Cent has admitted he has "lost a few million" in the recent economic crisis.


The 34-year-old star has an estimated fortune of £500 million and is starring in new movie Dead Man Running.


He said: "Hey, if you don't lose some money in this recession it means you didn't have enough to start off with. Sure I lost a few [million] but that's just because I have so much. This is a time that will sort the strong from the weak."


However, that doesn't mean the rapper is cutting back on important things such as security.


He said: "I spend £20,000 a week on security. My home is surrounded by cameras. I need surveillance not only to look out for me but also to protect me. You get all these crazy lawsuits and I need cameras to check on things."


source with Abdallah Shelufumo

Sunday 18 October 2009

wishing you Happy birthday and more to come abdallah

From Zefumo to Abdallah Shelufumo

On your birthday I wish you much pleasure and joy;
I hope all of your wishes come true.
May each hour and minute be filled with delight,
And your birthday be perfect for you!

Here's another year of experience






Pongezi kwa ngugu yetu Abdallah Shelufumo kwa kuzaliwa tena leo hii.

Blog yetu ya Zefumo ilikua pamoja bega kwa bega pamoja na mdau huyu ambaye vilevile ndio Mkurugenzi wa Blog hii ktk kufurahi siku ya kuzaliwa kwake.

Baadhi ys picha zilinazomuonesha Mdau mwenyewe hapo chini



Masanja anadai wahenga wanasema 'nchungaji mashuhuli kikwapa luwadudi" yaani

kazaliwa Abdallah Shelufumo kazaliwa Zefumoblogspot.

Picha zote na Zefumo.blogspot.com





Tuesday 13 October 2009

In those dayz


kipindi hicho shuja wetu wa tanzania na Afrika.



[JK.Nyerere.jpg]







Ila mazee tumetoka mbali, au unaniambiaje kilo.

zefumo iko pamoja na watanzania katika kuhitimisha maadhimishi ya kumbukumbu ya shujaa wa Afrika.
na Shelufumo



The memorial of Mwalimu Nyerere


Maisha ya Julius Nyerere

Sehemu ya Kwanza: Kuzaliwa na Malezi
Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwezi wa nne, tarehe kumi na mbili, mwaka elfu moja, mia tisa na ishirini na mbili katika nchi ya Tanganyika, na alikufa mwezi wa kumi, tarehe kumi na nne, mwaka elfu moja, mia tisa, tisini na tisa katika mji wa London. Alizaliwa mjini Butiama, karibu na pwani ya mashariki ya Ziwa la Victoria. Nyerere alikuwa mmoja wa watoto ishirini na sita wa babake, Nyerere Burito. Babake alikuwa kiongozi wa kabila la Zanaki na alikuwa na wake wawili. Pia babake alikuwa na fedha nyingi lakini hakuwa na elimu nyingi.
Wakati wa utoto wake, Julius Nyerere alichunga mifugo na alikuwa na maisha ya kawaida. Nyerere alikuwa mfuasi wa dini ya katoliki na watu waliomwona walisema alienda misa ya katoliki kila siku na hata wakati alikuwa mvulana, alifunga mara kwa mara. Kweli, mpaka alipokuwa na miaka kumi na mbili, Nyerere hakuwa na uzoefu na wazungu. Halafu aliingia shule huko mji wa Musoma, maili ishirini na sita kutoka nyumbani kwao (hili litaelezwa zaidi katika sehemu ya elimu yake.) Nyerere alibatizwa kuwa mkatoliki wakati alikuwa na miaka ishiniri. Nyerere alikua na kufika urefu wa futi tano na inchi sita na watu wote walisema alipenda sana kucheza na kufanya mizaha. Pia, wakati aliishi na kabila lake, alikata meno yake ya mbele na msumeno kuonyesha utamaduni wa kabila lake.
Maswali ya Ufahamu:

Habari na Abdallah Shelufumo, mmiliki wa Zefumo blogspot katika maadhimisho ya kumbukumbu za Baba wa Taifa, The World Hero Of Social Justice.



1. Nyerere alizaliwa nchi gani?
2. Nyerere aliishi miaka mingapi?
3. Nyerere alikuwa wa dini gani?

Sehemu ya Pili: Elimu
Julius Nyerere alienda Shule ya Msingi ya Serikali katika mji wa Musoma wakati alikuwa na miaka kumi na mbili. Alimaliza masomo ya miaka minne katika miaka mitatu kwa sababu alikuwa na akili sana, halafu alienda kusoma na Wavulana wa Shule ya Upili ya Serikali ya Tabora. Huko, alipata udhamini kwenda Chuo Kikuu cha Makerere. Ni muhimu kujua wakati alipata udhamini huo, Makerere kilikuwa chuo kikuu cha pekee katika Afrika ya Mashariki. Wakati alimaliza kusoma, alipata shahada.
Baada ya chuo kikuu, Nyerere alirudi Tanganyika na alifanya kazi katika Shule ya Upili ya St. Mary katika mji wa Tabora, katikati ya Tanganyika. Shule ya St. Mary ilikuwa shule ya kikatoliki. Huko, alifundisha masomo ya biolojia na
Kiingereza. Halafu, katika mwaka elfu moja, mia tisa na arobaini na tisa, alipata udhamini mwingine wa masomo. Wakati huu, aliweza kwenda chuo kikuu cha Edinburgh. Nilisoma vitu hivi katika wikipedia.com, na pia huko nilijifunza kwamba Nyerere alikuwa Mtanzania wa kwanza kusoma chuo kikuu cha nchi ya Wingereza na Mtanzania wa pili kupata digrii nje ya Afrika. Katika chuo kikuu cha Edinburgh, Nyerere alipata Shahada ya juu ya Sanaa katika Historia na Uchumi, mwaka elfu moja mia tisa, na hamsini na mbili. Katika Edinburgh, alisoma mkondo wa kufikiri unaoitwa “Fabian.” Mkondo wa “Fabian” wa kufikiri, ulijumuisha kundi la wataalamu wa Ujamaa wa Uingereza. Azimio la “Fabian” ni kuendeleza mawazo ya kijamaa kuongoa badala ya mapinduzi. Kwa hivyo, kwa sababu alijifundisha mawazo ya “Fabian,” alianza kufikiri mabadiliko mazuri sana yangepatikana ikiwa angeweza kuunganisha ujamaa na maisha ya Afrika. Wakati wa maisha yake, Nyerere aliitwa “mwalimu” kwa sababu ya kazi yake nyingi na elimu.
Maswali ya Ufahamu:
1. Kwa nini Nyerere alimaliza shule ya msingi mapema?
2. Nyerere alipata udhamini kwa nini?
3. Ni aina gani ya kufikiri aliyojifunza Nyerere huko chuo kikuu cha Edinburgh?

Sehemu ya Tatu: Ndoa na Familia
Wakati Julius Nyerere alikuwa mwalimu, na kabla ya maisha yake ya mwanasiasa, alioa mwanamke aliyeitwa Maria Magige. Maria alitoka kabila tofauti. Wanahistoria walisema alioa mwanamke wa kabila lingine kuonyesha dunia ilikuwa muhimu sana kusahau tofauti baina ya makabila na kusaidia umoja. Maria alimiliki duka dogo katika mtaa wa wenyeji wa Dar es Salaam. Pia, alikuwa rais wa Halmashauri ya Wanawake ya Tanganyika. Pamoja na Nyerere, alizaa watoto wanane, na leo watano wanaishi huko mjini Dar es Salaam.
Maswali ya Ufahamu:
1. Mke wa Nyerere alifanya kazi gani kabla ya kukutana na Nyerere?
2. Nyerere alikuwa na watoto wangapi?
3. Nyerere alifanya nini kujaribu kupata umoja baina ya makabila?

Sehemu ya Nne: Mchango Katika Jamii
Mchango mkuu wa Nyerere katika jamii ni kazi aliyofanyia serikali. Lakini kwanza nitaeleza kazi yake ya kufundisha. Nyerere alikuwa mwalimu wa historia, Kiingereza, na Kiswahili katika chuo cha St. Francis karibu na mji wa Dar es Salaam katika nchi ya Tanganyika. Huko, alianza shughuli ya siasa wakati alianza mradi wa TANU (Tanganyika African National Union) kupigania uhuru kwa nchi ya Tanganyika. Katika mwaka mmoja tu, TANU ilikuwa na watu wengi wapya na ilikuwa kiongozi wa miradi ya siasa katika Tanganyika. Kwa sababu Nyerere alianza kujihusisha na siasa, kwa ghafla alihitaji kuamua baina ya maisha ya mwalimu au maisha ya mwanasiasa. Watu wanasema Nyerere alisema “nilichagua kuwa mwalimu na ni ajali kwamba mimi ni mwanasiasa.” Alijiuzulu kutoka kufundisha, na Julius Nyerere alikuwa mwanasiasa kwa maisha yake.
Alisafiri ndani ya Tanganyika kusema na watu wengi na viongozi tofauti, kujaribu kupata msaada kwa harakati za uhuru wa Tanganyika. Katika mwaka elfu moja, mia tisa na hamsini na nne, alifaulu kuunganisha jamii mbalimbali kitaifa pamoja kusaidia harakati za uhuru. Nyerere alikuwa na ufarisi wa kusema uliomsaidia wakati alisema na UN (Umoja wa Mataifa) kuhusu uhuru wa Tanganyika. Katika mwaka elfu moja, mia tisa na hamsini na nane, aljiunga na Colonial Legislative na alishinda uchaguzi wa Waziri Mkuu katika mwaka elfu moja, mia tisa na sitini.
Nyerere alikuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika mwezi wa kumi na mbili, tarehe tisa, mwaka elfu moja, mia tisa na sitini na moja, mwaka wa kwanza wa kujitawala kwa Tanganyika. Mwaka mmoja ulipita na Nyerere alishinda uchaguzi kuwa rais wa Tanganyika katika mwaka elfu moja, mia tisa, sitini na mbili, mwaka wa uhuru wa Tanganyika, jamhuri mpya. Pia, ni muhimu kujua kwamba Nyerere alifaulu kuunganisha kisiwa cha Zanzibar na Tanganyika bara pamoja kuunda nchi ya Tanzania katika mwaka elfu moja, mia tisa, sitini na nne, baada ya mapigano huko Zanzibar yaliyomaliza utawala wa Jamshid bin Abdullah, kiongozi wa Zanzibar.
Julius Nyerere aliendelea kuwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania mpaka mwaka elfu moja, mia tisa, na themanini na tano. Wakati alikuwa rais, Nyerere alikuwa na matatizo mengi kwa sababu mwaka elfu moja, mia tisa na sitini, Tanzania ilikuwa nchi maskini sana kulinganisha na nchi zingine za dunia. Tanzania ilikuwa na deni kubwa sana na vitu viliongezeka bei. Kusaidia nchi yake, Nyerere aliamua kujaribu ujamaa na maisha ya pamoja vijijini, na utaifishaji. Aliandika dhana zake katika Azimio la Arusha la Mwaka elfu moja, mia tisa, sitini na saba, lililosema kuhusu maendeleo ya mashamba. Watu walihimizwa kuishi na kufanya kazi pamoja katika vijiji vilivyokusudiwa kusambaza desturi ya utamaduni wa Tanzania na kuunda umoja. Watu wanafikiri Nyerere alishinda matatizo mengi ya Tanzania na aliunda jamii ya umoja huko.
Baada ya shughuli ya Rais, Nyerere aliendelea kusaidia jamii yake. Alikuwa mwenyekiti wa Kundi: Chama cha Mapinduzi (CCM). Baada ya miaka michache, aliacha shughuli yake ya mwanasiasa kwa sababu alikuwa mzee. Alipumzika katika shamba lake huko Butiama, mjini alipozaliwa. Katika mwaka elfu moja, mia tisa na tisini, aliacha kuwa mwenyekiti wa CCM lakini aliendelea kufanya kazi ya haki za kibinadamu. Kwa mfano, katika mwaka elfu moja, mia tisa na tisini na sita, alikuwa mwamuzi mkuu wakati wa ugomvi katika nchi ya Burundi. Kwa bahati mbaya, alipata ugonjwa wa kansa ya leukemia, na alikufa mjini London mwezi wa kumi, tarehe kumi na nne, mwaka elfu moja, mia tisa, tisini na tisa.
Maswali ya Ufahamu:
1. Nyerere alikuwa rais wa Tanzania kati ya miaka gani?
2. Ni kisiwa kipi Nyerere aliunganisha na Tanganyika kuwa Tanzania?
3. Baada ya kazi ya rais, Nyerere alifanya nini?

Sehemu ya Tano: Maoni Yangu Kumhusu
Kwanza, ningesema Julius Nyerere alikuwa mtu wa athari kubwa sana. Kupitia wajibu wake wa kutetea haki za kibinadamu katika nchi yake ya Tanzania na katika dunia yote, alielimisha watu wengi. Julius Nyerere alifanya kazi tofauti: alikuwa mwalimu na mwanasiasa, lakini katika kazi zote, alijaribu kufanya jamii bora. Nyerere alikuwa mwanasiasa wa kanuni na akili sana. Alitumia ubongo wake kusaidia watu wa Tanzania kuishi maisha bora. Pia, alikuwa mwaminifu, kwa sababu wakati alikuwa rais alitumia msaada wote kusaidia Tanzania. Nyerere alikuwa na elimu nyingi, na kwa hivyo aliweza kusema waziwazi na kuandika katiba muhimu. Utafiti wangu uliniambia kuwa Nyerere alikuwa tayari kila siku kufanya kazi na vyama tofauti sana, na alisikia maoni ya watu wote. Tunaweza kuona alifanya kazi na Uingereza kusaidia watu wake. Pia, alikuwa sababu kubwa sana ya Tanzania kupata uhuru.
Maswali ya Ufahamu:
1. Kazi mbili tofauti za Nyerere zilikuwa nini?
2. Nilisema nini kuhusu kazi tofauti ya Nyerere?
3. Kwa sababu Nyerere alipata elimu nyingi, aliweza kufanya nini?

Sehemu ya Mwisho: Maswali ya Mjadala
1. Unafikiri kuwa mmoja wa watoto ishirini na sita kuliathirije Nyerere?
2. Kwa maoni yako, nini ni mchango mkubwa wa Nyerere katika jamii?
3. Unakubalina na dhana za Nyerere kuhusu Ujamaa?
4. Unafikiri nini katika maisha ya Nyerere kilimfanya kutaka kusaidia dunia?
5. Kwa nini Nyerere aliweza kuipata Zanzibar?
6. Unafikiri dini ya Katoliki ilimsaidia Nyerere?
7. Kwa maoni yako, elimu ni muhimu kwa nini?
8. Kwa nini Nyerere hakuona wazungu mpaka alipokuwa na miaka kumi na mbili?
9. Kwa nini Nyerere alikufa? Leo, kuna tiba kwa ugonjwa wake?
10. Je, unakubalina na maoni yangu kumhusu?

Marejeleo

“Julius Nyerere.” Wikipedia: The Free Encyclopedia. 10 May 2007. Wikimedia Foundation, Inc. 12 May 2007. .
Robbins, James. “Julius Nyerere: The conscience of Africa.” 14 October 1999. BBC World: Africa. 12 May 2007. .
Smith, Mark. “Julius Nyerere, Lifelong Learning and Informal Education.” 20 May 2007. Infed. 23 May 2007. .
Simmons, Charles E. “President Julius Nyerere: A Great Teacher and Devoted African Leader.” 12 May 2007. .

No related posts.











Thursday 8 October 2009

dreamz for AC Millan


Ramadhani mwanga a.k.a kipaji[Yahiiiiiiii......., povu] kupatikana kama Nyota wa msimu katika ligi chini ya miaka 21 ikifahamika kama serengeti boyz bila shakawatanzania wananisoma huko nchini Italy.
Nyota huyo mwenye uwezo wahali ya juu ambae ni raia wa Tanzania, alikua na ndoto kubwa katika fani ya mpira, ambapo alipokua secondary alishatunukiwa tuzo ya uchezaji bora katika shule ya Mtakatifu matayo huko tanzania.
juhudi zake zilimfanya akachukuliwa na Chelsea FC nchini Uingereza katika timi ya chini ya miaka 18, kama picha zinavyoonesha hapa chini akiwa stanford bridge.



hatahivyo nyota huyo hakudumu kwa muda mrefu stanford bridge kwa sababu ya kimaslahi kwani aliamini kwa kiwango chake na pesa mambayo alikua akilipwa si sahii, na hivyo kuhama jiji la London na kuelekea nchini Italy ambapo Jose Mourinho alimuahidi dau nono ambapo nyota huyo basi ndipo anaporock kwa sasa, kama picha zinavyoonesha akila tizi





picha na Zefumo.

heppi bethday G


Hatimaye Globilly britho a.k.a the big G bila shaka uncle nahiii {mr. nice} ananisoma kuzaliwa tena baada ya masaa 48 kuanzia sasa[10 oct].
blog yetu ya Zefumo yenye makao yake makuu Reading jijini London, ilifanikiwa kufanya mahojiano ya uso kwa uso na muhusika{glory] juu ya tafrija hiyo inayo tarajiwa kufanyika tarehe 10 oct kuanzia majira ya saa 12 jioni mpaka kuchwee ndani ya 22 Old Kennels Court Rg30 3ns.

kwa niaba ya mhusika Zefumo imepewa nafasi ya kuwakaribisha ndugu, jamaa na marafiki wote
wanaohusika.
kutakuwepo na itifaki ya kufa na mtu muziki mkubwa, vyakula vya kusaza, vinywaji mbalimbali bila kusahau maji yetu ya uzima, bila shaka uncle na nihii[ching'oro] ananisoma.
Hatahivyo Zefumo ilijaribu kumtafuta jamaa mwenyewe Levin Boaz a.k.a Mr. nice kwa taarifa zaidi lakini hakuweza kupatikana.

kwa niaba ya Mh. Abdallah Shelufumo Zefumo kwa maranyingine tena inatoa pongezi kwa dada yetu Glory kwa kutimiza miaka 2__ ?
Mungu akubaruki


picha na Abdallah Shelufumo.

Wednesday 30 September 2009

Godorn Brown: labour itashinda bila nguvu ya soda

Mapema leo hii, mheshimiwa Waziri Mkuu nchini humu [uingereza] Bw. Gordon Brown amesema kwamba ni wananchi wenyewe ndio watakao fanya matokeo ya uchaguzi unaokuja kuwa yanavyostahili. Mh. Brown alitoa kauli hiyo baada ya kuona kwamba Gazeti la The Sun linavyomkumbatia bwana Cameroon, na hivyo kusistiza kwamba ni wananchi wenyewe nasi The Sun ndio watakao toa majibu ya uchaguzi.

blog yetu ya Zefumo ilimkariri mheshimiwa brown akisema kwamba vyombo vya habari ikiwemo magazeti yako entittled [kumradhi nimekosa neno la kiswahili kuliweka hapo]na kutoa maoni yao kwa jinsi wanavyotaka, hatahivyo sidhani kama wa hariri ndio watakao toa matokeo ya uchaguzi.

kutoka kushoto basi ni Mh. Gordon Brown, David Cameroon [katikati] na Nick Clegg kushoto.



Gordon Brown, David Cameron and Nick Clegg



picha na Abdallah Shelufumo
Zefumo.co.uk

Monday 28 September 2009

happy birthday oracle reading

tarehe 24, sept 2009 oracle ya reading kutimiza miaka 10 tangu kuanza kutoa huduma yake ya mambo yetu yale mishopping, mafasheni mbalimbali na huduma kadha wa kadha ikiwemo na migahawa, bila shaka wadau wangu ally kilo a.k.a ze pizza the heart ananisoma bila kumsahau anko na nihiiiiii a.k.a tevez .
hatahivyo mmiliki wa blog hii Zefumo Mheshimiwa. Abdallah Shelufumo alikuwepo na kushuhudia tukio zima la tafrija ya maadhimisho hayo ndani ya reading pamoja na wadau wengine wakiwemo kaka na nihii, rasheed, yunga boy a.k.a mjivijivu, andrew a.k.a mpwa bila kuwa sahau wadau wote wa vicent.

utambulisho tu wa haraka haraka, toka kulia ni meneja masoko oracle Steve Belam na mgeni wa heshima mwenyekiti wa tume a jiji Fred Pugh wakati wa zoezi la kukata keki.


Mayor Fred Pugh and Oracle general manager Steve Belam cut the giant birthday cake




The Oracle celebrates

na Abdallah Shelufumo

mambo ya x factor

Strictly judge Craig Revel Horwood dismisses ratings war with X Factor

Craig Revel Horwood (Pic:BBC)

Strictly Come Dancing judge Craig Revel Horwood has blasted rival show The X Factor was only finding "flash-in-the-pan" pop singers.

speaking to Zefumo the star as a result, he wasn't bothered about the weekend ratings war, which Strictly is currently losing by 1.4million viewers.

Craig said: "I really don’t see how the two compare. One’s a talent show for people to become pop singers with the longevity of about a year, ours is a show about celebs learning to dance."

Craig, 44, has openly supported Arlene Phillips, who was replaced by Alesha Dixon on the judging panel this year.

He says he misses Arlene and would happily give up his place for her, although not exactly for the right reasons. Craig said: "I’m so jealous that Arlene’s got the job of being a judge on So You Think You Can Dance
haya sasa kazi kwako leyla na mambo yetu yale next.

sir Alex fugerson kumpa bichwa Giggs

Sir Alex Ferguson heaped yet more praise on Ryan Giggs following the Reds’ impressive 2-0 yaani[mbili bila] win over Stoke at the Britannia Stadium.The Welshman stepped off the bench at 0-0 to create both goals, first latching on to Darren Fletcher's fine threaded pass to cross for Berbatov to tap in, then curling in a free-kick for John O’Shea to head home. The United boss was delighted with Giggs’ contribution, and hailed his positional sense as a key factor in the midfielder’s performance.“He’s important, he made the goals,” Sir Alex told MUTV. “I felt his intelligence would give them a bit of bother on that side of the pitch."I think Nani did his job quite well. He kept penetrating and keeping them pinned back, but Ryan brings you something else. He’s got the intelligence to take up good positions and for the first goal he made a lovely run in behind them to get the pass from Darren Fletcher and roll it along for Berbatov to score.”Ferguson was also elated with Giggs’ free-kick that led to O’Shea’s header, which sealed the winner and made the Irishman’s 350th appearance for the Reds one to remember.
“It was a nice free-kick from Ryan. You’re always looking for that second goal to kill the game – the sooner it comes the better.“I felt we were a much bigger threat in the second half, particularly after we scored.”
mdau wangu rasheed naona ni furaha tupu huku alipo.
by Abdallah shelufumo
blog yenu ya ze fumo ambayo ndio blog ya kwanza kwenye sayari
kuchapisha picha za Meddy akiwa ÔbenetiÕ na mkewe, Zaitun Kessy Mpakanjia ambazo zilipigwa muda mfupi baada ya wawili hao kufunga pingu za maisha.Picha hizo ambazo gazeti hili limezinasa kupitia kwa vyanzo vyake, zilipigwa kwa njia ya simu wakati Meddy na Zaitun walipokuwa wameketi kitandani kwenye moja ya vyumba vya nyumbani kwa bibi harusi huyo.Katika picha hizo, marehemu Meddy licha ya kwamba yupo jirani na mkewe na alikuwa ametoka kwenye shughuli ya kufunga ndoa ambayo ni tendo la furaha lakini yeye anaonekana hana raha na amepooza.Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, hali ya Kitendawili ilianza kubadilika wakati akiwa anafunga ndoa na ilifikia kipindi alijieleza wazi wazi kwamba alikuwa akijisikia vibaya.Vyanzo vyetu vinaeleza kuwa, kutokana na hali ya Kitendawili kubadilika na kujieleza kuwa hajisikii vizuri, ilibidi maswali kwenda kwa bwana harusi ambayo kimsingi yalitakiwa kujibiwa na Meddy, siku hiyo yajibiwe na kaka yake, Abdul Mpakanjia.ÒBinadamu ni vipofu kwenye suala la kifo, lakini pale pale harusini alilalamika anaumwa na ndiyo maana maswali ya bwana harusi aliyajibu kaka yake, Meddy hakujibu,Ó alisema mtoa habari wetu na kuongeza:ÒMimi nmachukulia kuwa umauti ulianza kumzunguka tangu wakati akiwa kwenye ndoa, kwa sababu muda mfupi baada ya kufika nyumbani alilalamika tumbo linamuuma sana, siku hiyo alilala kwa tabu, kesho yake alipopelekwa hospitali alifariki dunia.Meddy, alifariki dunia Jumatatu ya wiki hii kwenye Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo, Dar es Salaam na kuzikwa siku iliyofuata (Jumanne) kwenye makaburi ya Kisutu, jijini Dar.Marehemu ameacha mjane, Zaitun na watoto wanne, Abdulrahim, Ibrahim, Karim na Abdulrahman a.k.a Rahmanino ambaye alizaa na aliyekuwa mkewe, Mbunge wa Viti Maalum, UVCCM, Amina Chifupa Maboga.




na abdallah shelufumo

burihani mpakanjia

Zaitun ambaye anaonekana ukurasa wa mbele wa gazeti hili, alifunga ndoa na Meddy Jumapili iliyopita na kuishi naye kwa saa kumi na saba kabla ya kifo cha mumewe. Hata hivyo, gazeti hili lina mengi ambayo yameibuka kufuatia kifo hicho kilichotokea ghafla, moja ya hayo ni kugundulika kuwa, marehemu alishaandika mirathi ya nyumba zake mbili, zilizoko Sinza na Mbezi, jijini Dar es Salaam. Habari zinasema kuwa, marehemu alimwandika mtoto wake wa mwisho, Abdulrahman Mohamed Mpakanjia a.k.a Rahmanino kurithi ule mjengo wa pale Sinza-Mori. Mbali na huyo, mtoto mwingine ambaye amepata nyumba kupitia mirathi hiyo ni Rahim Mohamed Mpakanjia ambaye anakuwa mmiliki wa nyumba ya Mbezi. Watoto wengine wa marehemu, Ibrahim na Karim Mohamed Mpakanjia, wote wamerithi nyumba mbili zilizopo, Tandika, wilayani Temeke, Dar kwa kila mmoja kuchukua ya kwake. Kauli ya marehemu aliyoiacha kwa mkewe mpya, Zaitun wakati akipelekwa Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo ni jambo lingine nyuma ya msiba huo. Habari zinasema, marehemu Mpakanjia alimwambia mkewe huyo kwamba, anapelekwa hospitali, lakini hatopona na hivyo ana uhakika kuwa, anamwacha katika eda. Zaitun alilithibitishia gazeti hili kuwa, kweli marehemu alitamka maneno hayo, licha ya kwamba awali hakuwa amejua alilenga nini. “Marehemu wakati anapelekwa hospitali aliniambia, mke wangu nakuhurumia, napelekwa hospitali lakini nakuacha eda,” alisema Zaitun. Aidha, mapya mengine ambayo yaliutikisa msiba wa Meddy ni ndogo ndogo ambazo zimelifikia gazeti hili kwamba baadhi ya ndugu wa marehemu wanamnyanyapaa Zaitun kwa maelezo kuwa yeye si mke halali. Ushakunaku wetu msibani umebaini kuwa mpaka juzi, Zaitun alikuwa hajavalishwa mavazi rasmi ya mwanamke mjane ambayo huvaliwa wakati wa eda. Katika hilo, Amani limebaini kwamba kulikuwa na mikakati ya chini kwa chini kutoka kwa baadhi ya ndugu wa marehemu, waliotaka ‘kutaifisha’ haki zote za mjane huyo.

get informed by ze fumo

Thursday 24 September 2009

mubarakatul eid

kaka nanihiii anapenda kuwapa mkono wa eid el fitr wadau wa wote wa london.