Pages

Search This Blog

michuzi, MK,HAKI NGOWI, BONGO CELEBRITY, WATANZANIA, NGURUMO

Thursday 8 October 2009

dreamz for AC Millan


Ramadhani mwanga a.k.a kipaji[Yahiiiiiiii......., povu] kupatikana kama Nyota wa msimu katika ligi chini ya miaka 21 ikifahamika kama serengeti boyz bila shakawatanzania wananisoma huko nchini Italy.
Nyota huyo mwenye uwezo wahali ya juu ambae ni raia wa Tanzania, alikua na ndoto kubwa katika fani ya mpira, ambapo alipokua secondary alishatunukiwa tuzo ya uchezaji bora katika shule ya Mtakatifu matayo huko tanzania.
juhudi zake zilimfanya akachukuliwa na Chelsea FC nchini Uingereza katika timi ya chini ya miaka 18, kama picha zinavyoonesha hapa chini akiwa stanford bridge.



hatahivyo nyota huyo hakudumu kwa muda mrefu stanford bridge kwa sababu ya kimaslahi kwani aliamini kwa kiwango chake na pesa mambayo alikua akilipwa si sahii, na hivyo kuhama jiji la London na kuelekea nchini Italy ambapo Jose Mourinho alimuahidi dau nono ambapo nyota huyo basi ndipo anaporock kwa sasa, kama picha zinavyoonesha akila tizi





picha na Zefumo.

No comments:

Post a Comment