blog yetu ya Zefumo yenye makao yake makuu Reading jijini London, ilifanikiwa kufanya mahojiano ya uso kwa uso na muhusika{glory] juu ya tafrija hiyo inayo tarajiwa kufanyika tarehe 10 oct kuanzia majira ya saa 12 jioni mpaka kuchwee ndani ya 22 Old Kennels Court Rg30 3ns.
kwa niaba ya mhusika Zefumo imepewa nafasi ya kuwakaribisha ndugu, jamaa na marafiki wote
wanaohusika.
kutakuwepo na itifaki ya kufa na mtu muziki mkubwa, vyakula vya kusaza, vinywaji mbalimbali bila kusahau maji yetu ya uzima, bila shaka uncle na nihii[ching'oro] ananisoma.
Hatahivyo Zefumo ilijaribu kumtafuta jamaa mwenyewe Levin Boaz a.k.a Mr. nice kwa taarifa zaidi lakini hakuweza kupatikana.
kwa niaba ya Mh. Abdallah Shelufumo Zefumo kwa maranyingine tena inatoa pongezi kwa dada yetu Glory kwa kutimiza miaka 2__ ?
Mungu akubaruki
picha na Abdallah Shelufumo.
No comments:
Post a Comment