Pages

Search This Blog

michuzi, MK,HAKI NGOWI, BONGO CELEBRITY, WATANZANIA, NGURUMO

Sunday 18 October 2009

Here's another year of experience






Pongezi kwa ngugu yetu Abdallah Shelufumo kwa kuzaliwa tena leo hii.

Blog yetu ya Zefumo ilikua pamoja bega kwa bega pamoja na mdau huyu ambaye vilevile ndio Mkurugenzi wa Blog hii ktk kufurahi siku ya kuzaliwa kwake.

Baadhi ys picha zilinazomuonesha Mdau mwenyewe hapo chini



Masanja anadai wahenga wanasema 'nchungaji mashuhuli kikwapa luwadudi" yaani

kazaliwa Abdallah Shelufumo kazaliwa Zefumoblogspot.

Picha zote na Zefumo.blogspot.com





No comments:

Post a Comment