Pongezi kwa ngugu yetu Abdallah Shelufumo kwa kuzaliwa tena leo hii.
Blog yetu ya Zefumo ilikua pamoja bega kwa bega pamoja na mdau huyu ambaye vilevile ndio Mkurugenzi wa Blog hii ktk kufurahi siku ya kuzaliwa kwake.
Baadhi ys picha zilinazomuonesha Mdau mwenyewe hapo chini
Masanja anadai wahenga wanasema 'nchungaji mashuhuli kikwapa luwadudi" yaani
kazaliwa Abdallah Shelufumo kazaliwa Zefumoblogspot.
Picha zote na Zefumo.blogspot.com
No comments:
Post a Comment