blog yetu ya Zefumo ilimkariri mheshimiwa brown akisema kwamba vyombo vya habari ikiwemo magazeti yako entittled [kumradhi nimekosa neno la kiswahili kuliweka hapo]na kutoa maoni yao kwa jinsi wanavyotaka, hatahivyo sidhani kama wa hariri ndio watakao toa matokeo ya uchaguzi.
kutoka kushoto basi ni Mh. Gordon Brown, David Cameroon [katikati] na Nick Clegg kushoto.
picha na Abdallah Shelufumo
Zefumo.co.uk
No comments:
Post a Comment