hatahivyo mmiliki wa blog hii Zefumo Mheshimiwa. Abdallah Shelufumo alikuwepo na kushuhudia tukio zima la tafrija ya maadhimisho hayo ndani ya reading pamoja na wadau wengine wakiwemo kaka na nihii, rasheed, yunga boy a.k.a mjivijivu, andrew a.k.a mpwa bila kuwa sahau wadau wote wa vicent.
utambulisho tu wa haraka haraka, toka kulia ni meneja masoko oracle Steve Belam na mgeni wa heshima mwenyekiti wa tume a jiji Fred Pugh wakati wa zoezi la kukata keki.
No comments:
Post a Comment