Pages

Search This Blog

michuzi, MK,HAKI NGOWI, BONGO CELEBRITY, WATANZANIA, NGURUMO

Monday 28 September 2009

happy birthday oracle reading

tarehe 24, sept 2009 oracle ya reading kutimiza miaka 10 tangu kuanza kutoa huduma yake ya mambo yetu yale mishopping, mafasheni mbalimbali na huduma kadha wa kadha ikiwemo na migahawa, bila shaka wadau wangu ally kilo a.k.a ze pizza the heart ananisoma bila kumsahau anko na nihiiiiii a.k.a tevez .
hatahivyo mmiliki wa blog hii Zefumo Mheshimiwa. Abdallah Shelufumo alikuwepo na kushuhudia tukio zima la tafrija ya maadhimisho hayo ndani ya reading pamoja na wadau wengine wakiwemo kaka na nihii, rasheed, yunga boy a.k.a mjivijivu, andrew a.k.a mpwa bila kuwa sahau wadau wote wa vicent.

utambulisho tu wa haraka haraka, toka kulia ni meneja masoko oracle Steve Belam na mgeni wa heshima mwenyekiti wa tume a jiji Fred Pugh wakati wa zoezi la kukata keki.


Mayor Fred Pugh and Oracle general manager Steve Belam cut the giant birthday cake




The Oracle celebrates

na Abdallah Shelufumo

No comments:

Post a Comment